Nyara Nyara Lyrics by Wakadinali


Nyara Nyara Lyrics by Wakadinali


Yoh! 

Free hustle man

Free hustle man

F4ck lockdown

Big Beats Afriq Afriqa!

Wakadinali au sio


Peng ni ayela na gang ilimnyora

Design ya nyara nyara nyara

Mraa tunairun bila haya

Na gut ni kilalo ya jana

Jokes on you mnatupima

Liars, manze hio ni nini mnafanya?

Mavedi walipumua fire, Huh!

Exactly niliwadanganya

Warazi walipumua fire, Huh!

Exactly niliwadanganya


Peng ni ayela na gang ilimnyora

Design ya nyara nyara nyara

Mavedi walipumua fire, Huh!

Exactly niliwadanganya [Eeh!]

Warazi walipumua fire, Huh!

Exactly niliwadanganya 


Yoh!

9 Months unatry kudeliver

Hatukuonei huruma ukuwe unless, una mimba

Ngwai East imepeleka vijana wengi Inda

It's high time Kenya ikuwe legal

Ni heri uangushe kinde CBD njoka

wako rada, ukikojoa watakushika

Mr. at least try jo kubehave

Staki damu imwagikie my lean and T-Shirt

Naskia mnanitafuta Huh! mpaka

mnanifuata kwa duka

Stepper mi hukanyaga kubwa

Ukikuja sana, perhaps utakulwa

Unafaa kujua nani ndo kushuta

Before kunukishai hii mtaa unavweza chuta


Mbepa si hufungia gunga

Hakuna ni Sunday mzae jo amefunga

Mi huflip ka beats za Afriqa

Niliwaachia Hiphop siku hizi man a driller

Mabiz za mpini si hupiga

Kwani si ata judge alipardon’ killer


Splash Splash tukifika

Itoka inaspark ma opp wanaitika

Trap trap to sad tisa ni mboka

Nilikuwa hapo hio jogoo ikiwika [trap trap]

Nimeona Subri ikinipita

Think kwa hio rounda scene ilipigwa

Bruce iliskika street iliwika

Black alikam akanyambisa [Bruce]

Naskia mi mchafu spitter

Ni ka mi huandika hizo ngoma kwa pipa [Skia]

Kudus informer though hawakunipata

Nilikuwa na operate na Bipa [kudus]


Peng ni ayela na gang ilimnyora

Design ya nyara nyara nyara

Mradi tunirun bila haya

Na gut ni kilalo ya jana

Jokes on you mnatupima

Liars manze hio ni nini mnafanya?

Mavedi walipumua fire, Huh!

Exactly niliwadanganya

Warazi wcalipumua fire, Huh!

Exactly niliwadanganya


Peng ni ayela na gang ilimnyora

Design ya nyara nyara nyara

Mavedi walipumua fire, Huh!

Exactly niliwadanganya

Warazi walipumua fire, Huh!

Exactly niliwadanganya


Kuna venye Covid naitii kitu moja

Daily coro 19 nilinona

Cyber wronging in different location

Wolan tunaicduingi normal

Fake kings nazidi kuwawinda

Ka ulidhani hio ilikuwa mechi gwan, hii ndo dimba


Peng ni ayela msupuu

Mans na Domani naishi life bila filters

Sina hadi maarifa

Mi nilidhani shore nilikuwa nabonga

naye Insta ni Risper

Nikihama mi huenda na kamba za nguo

wish ningekuwa KPLC

Arif ilikuwa MCA, sai ni MP anarepingi Westy

Sikumeet huyo msichana no no

Nilidate hio vigina

Ndoch uni manzi mechu

Ushaimwanika kwa mneti hapana

I was high in skul man a driller

Tangu enzi za Insyder

Nina ndoto ya maziwa mrefuu

Inaweza lipa debts zote za Mchina

Watch what you are talking kwa port

Timeline yako ina TikTok

Nina maboyz Kise huko Ngong

Walipanua riko sai wanamanufacture Richot


Peng ni ayela na gang ilimnyora

Design ya nyara nyara nyara

Mraa tunairun bila haya

Na gut ni kilalo ya jana

Jokes on you mnatupima

Liars manze hio ni nini mnafanya?

Mavedi walipumua fire, Huh!

Exactly niliwadanganya

Warazi walipumua fire, Huh!

Exactly niliwadanganya


Peng ni ayela na gang ilimnyora

Design ya nyara nyara nyara

Mavedi walipumua fire, Huh!

Exactly niliwadanganya

Warazi walipumua fire, Huh!

Exactly niliwadanganya


For real! 

Heri nitokee siwezi kukutusi, Twitter mimi

OCs OCs alisema tupotee, na tusiwahi rudi mijini

Wanainita Dangote, na mi sijui kwanini

Nyonginyo zangu zinatee, siku hizi

Hata nikiwa kwako, mimi

Hii tenje ipotee nishakuwa Hoodini

Sanse atokee hii ngwai, haizimwi

Mi sinanga Fee bado najiamini

When you see me better hashtag, easy?

Deep down they Wanna be me

Hii mtaa chini ya maji niko na dini

Rhyme Gym Rong Rende ndani ya building

Combine kila rapper Kenya ndio, unimake mimi

Wakiniona ni rizla na ganja

Nikishawachoma, girimba narambwa

Mama mboga anachezaga na rada

Alinicall akanishow safisha unasakwa

Ju nina niggaz waliiba na ALBAB

Pandishaga middle finger kwa media na cover

Vijana walikosa riba na rada

Ilikuwaga ni mchana

wakikimbiza mambang'a


Sio easy getting this shilling

Me na bro kitchen we be distilling

Yeah! I told you if you see me, you see me

I was not there but they gave you the same feeling

Undercover Google Search

Undercover msupa acheze bubu tukif"ck

Ka anakanja crew inakam

Wakiletaga ujanja crew inakam kuburn


OFF Their  ALBUM #VICTIMSOFMADNESS  
#NDANIYACOCKPIT3 COMING UP

Produced by @AFRVKA BEATZ 
Audio: mixed /mastered by Ares66 at BigBeatsAfriq

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Contact Form