Nyashinski - Goals Lyrics

Nyashinski - Goals Lyrics

Penye nia panafaa kuwa na njia

Hapa iko nia but manjia zimefungwa na curfew

Na by the time jua inatokea, two billion imeshapotea

Watu wako hopeless, bila IG tuko jobless

Mtoto ni mzazi atalea

Ama msanii ndio ataambiwa lazima akasafishe content


Uh!

2022 hatutaki tricks, na ugali wanabonya tunataka piece

Gang signs za ma-YOLO na tuko hapa East

Lunch time after kikoro na ka-Japanese

Unaenda lap, naenda biz

Mindset nisha-lock, success iko na keys

Fame iko na pressure, fam iko na needs

Kwenu kunanyesha, kwetu kuna trees

Shit, hii shit saa ni do or die

Hii rap ndio inafungua milango, itafungua za Lambo

Iko so close naeza ionja

Na hio taste ni familiar ka kuchonga, nishakusho

Nina kismat, mi walahi, najichocha

Jah Jah, najua size ile inanitosha

Niko hapa nakungoja, ni ka Pep ndio kocha


Nimeingia hii mwaka na goals, uh!

Siku hizi sikai ka na-doze

Mi ni sniper na flows mingi, style na ma-pose

Nyi ni ma-customer, uh! uh! uh!

Na-try ku-stack hio bread, I need a slice of that loaf

Watu si-like ni ma-toast, kitu si-like ni kuwa broke, uh


Jiji imejaa mapinji, but si lazima ukuwe pinji ndio u-make it

Na nimekam kui-prove, ngoja ucheki

Bado na-improve, ni vile tu leo mnajifanya ni ka hamnijui

Kesho mtanitafuta ka P2

We uko mtaani, si hapa kazi tu

Hii ni Ukoo flani, iko na Calif juu

Ka nitakuwa nimewacha ku-rap

Jua nitakuwa mahali na-try bado kununua Bentley

Kwa show nawacha watu waki-clap

After, niko mahali na-relax nikiziseti

Nusu kilo kwa dash, hio nusu ingine ni tax in

Fifty percent ilikuja, nikashika bag

Bila vijiti ama mbegu, hio ingine nikaweka kwa benki

Queue ya mashida iko na watu wengi

Queue ya kushinda ni ka ya kudenki

Queen ana figure na sura fine, thank you

"Shin huwanga stima, wah, kudadadeki"

Mi naua keeper, nakufa na beki

Nina uhakika, nitashika senti

Nani anasema siwezi, na-feel ka Ogada ama Messi

Nimeingia hii mwaka na goals

Yeah!


Nimeingia hii mwaka na goals

Siku hizi sikai ka na-doze

Mi ni sniper na flows mingi, style na ma-pose

Nyi ni ma-customer, uh! uh! uh!

Na-try ku-stack hio bread, need a slice of that loaf

Watu si-like ni ma-toast, kitu si-like ni kuwa broke, uh


I keep my eyes open, never let the other side know

So, we never (Never know, never know, never)

Show emotion, oh (Never know, never know, never know)


Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Contact Form