Oka Lyrics - Diamond Platnumz (feat. Mbosso)



Oka Lyrics - Diamond Platnumz (feat. Mbosso)


Ashi ashika ashi

le general Dangote

ashi ashika ashi

kirungi bin shedede

kananipa Mambo ya pwani Hadi napandisha mazyiii

Dozi kitandani had nazimika ziii

Haniti chibu anakatisha chiii

ka nyakanga mwali anavyo katika

Jaman Ale Ale Ale (Alele)

Alelele (Alele)

ooh Ale (Alele)

Alelele (Alele)

Asa oka okaka

oka okaka

oka okaka

oka okaka

baby ooh

Unifanya Nini

mi mwana wa mwenzio maana kwako sioni umenifunga na sikio

ukinishika hapa (utamu)

ukinigusa huku (utamu)

Ukinichumu Mimi (utamu)

ukinibusubusu jaman

oka okaka

oka okaka

oka okaka

oka okaka

Kama konokono mwenda pole kwenye mchanga

Nakupa mkono wa kongole baby we mwamba

Hesabu za kukokotoa umenifunza wewe

Waniamisha mikoa bumbuli kwa ukerewe

Ooh! Mapenzi ni kinywaji soft Barid

wananuna mwenzao nikifaidi

Ooh! malezi amerithi upande wa Bibi

Mwali nyuma Kama mlima itigi

Oka okaka

oka okaka

oka okaka

oka okaka

Usizidishe chumvi ntapata safura

Nimeambiwa jusi unachezaga chura

Asa chura (Anarukaruka)

Chura (anajump jump)

Ah chura oooh ooh (Anarukaruka)

jamn chura (Anajump jump)

Adede adede adede adede adede

Adede adede adede adede Fagilia

Waaah

eeeh Fagilia

Waaah

Kusemasema kando hayo Mambo ya kinafiki

Kama wayaweza Mambo kuja unioneshe Kati

Chura (Anarukaruka)

Chura (Anajumpjump)

ooh chura (Anarukaruka)

Chura (Anajumpjump)

Adede adede adede adede adede yiiih

Adede adede adede adede Fagilia

Waaah

eeh Fagilia

Waaah

inde inde inde baby inde

inde inde inde nione inde

inde inde inde baby inde

asa inde inde inde nione inde

Huyo mtoto (anabalaa)

mtoto (Anakusudi)

muone mtoto (anabalaa)

Mtoto (Anakusudi)

oooh anasifa (anabalaa)

Sifa za makusudi (Anakusudi)

mwana anajibiringita (anabalaa)

kifudi fudi (Anakusudi)


Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Contact Form