Mtasubiri Lyrics - Diamond Platnumz (feat. Zuchu)

 


Mtasubiri Lyrics - Diamond Platnumz (feat. Zuchu)


Eeh! Nini sasa

Eti ,Amina dua zimeitikiwa Hashtuti nije kupa mali yako

Oooh fanya hima ,

mwenzako nimezidiwa mahututi nasubiri tiba yako.


Na nisipo kuona na raha nakosa

Situliii mpka unikumbate darling


Oooh! Kiranga chote ni koma, ukianza dear,

shughuli kwisha yangu habari.


Eti unanipenda mi (mnhh)

Unanitaka pia ( mnhhh)

Unaniamini mnhh

na umeniridhia

Ooh Eti unaninda mi (mnhh)

Unanitaka pia (mnhhh)

Unaniamini (mnhh )

Na umeniridhia

Wanaosubiri tuachane !

Mtasubiri sana mtasubiri

(Ooh mtangonja )

Mtasubiri sana mtasubiri

(wanaosubiri tuachane )

Mnasubiri sana mtasubiri

(Chukueni viti mkae)

Mtasubiri sana mtasubiri


Ooh baby mi mwenzako njiwa wa kufungwa 

oooh baby vya chaku chaku vitanifunja


Ooh baby mie wapwani mzawa wa unguja

Ooh baby penzi laini sitoa buja


Na moyo nimeshaweka kwako nanga , wanajisumbua kukesha kwa waganga

Mbona bado!

Na presha zitawashuka na kupanda ,tena deka we shaukwa baby tamba .


Eti unanipenda mi (mnhh

Unanitaka pia (mnhhh)

Unaniamini( mnhh)

na kuniridhia (mnhh)

Eti unanipenda mi (mnhh

Unanitaka pia (mnhhh)

Unaniamini mnhh

na umeniridhia (mnhh)

Mnaosubir tuachane !

Mtasubir sana mtasubir

(Mtakesha )

Mtasubiri sana mtasubiri

(Mtandike jamvi mkae )

Mtasubiri sana mtasubiri

(Mtatungoja sana)

mtasubiri sana mtasubiri

Wanasema eti umeniroga

"nikweli ila inawahusu nini "

Hunipendi unanichuma

"nikweli ila inawahusu nini"

Eti wanasema ww ni kicheche

"Nikweli ila inawahusu nini"

Utanichezea kesho uniache

"Nikweli ila inawahusu nni"

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Contact Form