Aslay - Natamba Lyrics


Aslay - Natamba  Lyrics

[Intro]
Natamba natamba
aaah!

[Verse 1]
Kilichonishawishi upole wako
Na heshima yako
Wazazi wangu wamekusifia sana
Kwa tabia yako
Sura yako ya upole
Inanivutia aaah
Shape twiga mwenda pole
Najivunia aaah
Oh tupeane mapenzi iwachome
Eeeh na kama number waisome
Hata tukigombana wasione aah
Washike jembe wakalime
Mapenzi mazuri
Wakutane wawili wanaopendana
Usizidishe washauri
Watasabisha tuje kugombana aah
Aeeeh

[Chorus]
Aee angalia shape
Kama wema sepetu
Angalia jicho
Hamisa Mobeto
Ka rangi kake
Elibeth Michael
Yani we mrembo
Wallahy nachukua jiko
We ndo wangu wa milele

[Verse 2]
Nauza dagaa ili ninunue motokaa
Nikuridhishe
Unanipa furaha na nguvu ya kusaka
Chapaa nisikuangushe
Una nyota ya adamu na hawa
Ooh tunavyopendana
Hata wakituchukia ni sawa
Ooh tuwaminyie mama
Wanaona umenipa dawa
Ooh wanaongea saana
Chunga usije kuota mbawa
Ooh ukaniacha dilemma

[Pre-Chorus]
Natabiri pweza penzi
Litafika mbali
Nacheka kingereza
Ndo maana nacheza
Ya watu natupia mbali
Natabiri pweza penzi
Litafika mbali
Ndo maana nacheza
Ya watu natupia mbali

Basi babe nikumbatie aah

[Chorus]
Aee angalia shape
Kama wema sepetu
Angalia jicho
Hamisa Mobeto
Ka rangi kake
Elibeth Michael
Yani we mrembo
Wallahy nachukua jiko
We ndo wangu wa milele


Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Contact Form