Bahati ft Mejja - Dear Ex Remix Lyrics



Bahati ft Mejja - Dear Ex Remix Lyrics 


[Okonkwo]

[Bahati]

[Fala za matext manze]


Nilipokosa nisamehe

Ulipokosa nikusamehe

Na maisha yaendelee eeh


Nilipokosa nisamehe

Ulipokosa nikusamehe

Na maisha yaendelee eeh


Rafiki zangu wanaulizia, wanaulizia

Ndugu zangu wanaulizia, yule wa zamani

Paster Nganga anaulizia, anaulizia

Majirani wanaulizia, yule wa zamani


[Mejja]

Aaah!

Nimemiss sauti yako ndani ya nyumba

Nimemiss nikisanif shash na we unafunga

Nimemiss tukioga pamoja

Nimemiss ukipika mi naonja

Nimemiss familia nimemiss manzi yangu

Ulikuwa beste yangu, advice za mabeste ndo uliskia

Walikuchocha ukavunja familia but I hope

Mahali uko unafurahia


Pole bado napenda mtoto wako

Ukiwa na shida usiogope kusema

Maisha yako mi nakutakia mema

Okonkwo!


Maddi the Kansoul anaulizia, anauliza

Mama Khadija anaulizia, yule wa zamani

Willy M’tuva anaulizia, anauliza

Governor Joho anaulizia, yule wa zamani


You never took your time to know me [time to know me]

You never took your time to understand

You never took your time to know me [time to know me]

But loving you is all I had


Natamani siku zile, hisia zangu zinanikosea

Hata nikuone, ukiwa naye mi nawaombea

Natamani siku zile, hisia zangu zinanikosea

Hata nikuone, ukiwa naye mi nawaombea


Maina Kageni anaulizia, anaulizia

Emmah Lihavi anaulizia, yule wa zamani

Mwakideu anaulizia, anaulizia

Ata Otile anaulizia, yule wa zamani


Ommy Huruma anaulizia

Mtua anaulizia

Mama Seed anaulizia

Yule wa zamani


Kiuna anaulizia

Mwende Clemmo anaulizia

Kwetu Mathare wanaulizia

Yule wa zamani


[Mejja]

Sikia sauti

Mama mejja anaulizia, anaulizia

Kama wa Pango anaulizia

Pengting wa zamani


Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Contact Form