Extravaganza Lyrics - Sauti Sol ft Bensoul, Nviiri the Storyteller, Crystal Asige and Kaskazini


Extravaganza Lyrics - Sauti Sol ft Bensoul, Nviiri the Storyteller, Crystal Asige and Kaskazini

Ayeee
Rhumba imetamba
Sauti Sol in addi area kumechacha
Karibuni kwenye extravaganza
Bensoul alipofika alifunika, eeeh

Wakaja na madrama
Sinema zetu ni telenovela, eeeh
Wakasunda mizinga
Hawakujua si tuko mavela, ii-eeh
Wakaita polisi
Kumbe polisi pia ni shabiki, eeeh
Wakaficha msosi
Wakatupata na dishi mezani

Ayeee
Rhumba imetamba
Sauti Sol in a di area kumechacha (Kila kona, yo, yo)
Karibuni kwenye extravaganza
Nviiri alipofika alifunika, eeeh

Walifunga milango
Wakatupata tuko ndani nao
Wakaita makanjo
Kumbe ni sisi huwalipa salo (Wo-wo-wo-wo)
Wakazima mitambo
Shabiki wakabaki kwenye dance floor
Na iwe funzo kwao
Tunaongoza wanafuata nyayo

Ayeee
Rhumba imetamba
Sauti Sol in a di area kumechacha
Karibuni kwenye extravaganza
Na Crystal alipofika alifunika, eeeh
Wakaja na umati
Wakageuka kuwa wafuasi

Wakaja na majini
Wakapata tushazama kwa dini
Nyele za kifarasi
Lakini si ni moto ya makasi
Risasi mwendo kasi
Dandieni msiwachwe na basi

Ayeee
Rhumba imetamba
Sauti Sol in addi area kumechacha
Karibuni kwenye extravaganza
Kaskazini walipofika walifunika, eeeh
Wakaenda kusini
Wakajipata wako kaskazini (Eeh)
Wakaja na magigi
Lakini si tukaja na muziki (Eeh)
Wo-wo-wo, ye-ye-ye
Hata wazime taa tutazidi kuparty
Wo-wo-wo, ye-ye-ye

Hizi vitu hazitakangi utiaji
Na wakiapisha, (Tunaapisha)
Na wakifunika, (Tunafunua)
Eh wakianika, (Tunaanua)

Na wakisafisha, (Tunachafua)
Ayeee, Rhumba imetamba (Mama, yo-yo-yoo)
Sauti Sol in addi area kumechacha
Karibuni kwenye extravaganza
Karibuni kwenye extravaganza

Ayeee, Rhumba imetamba
Sauti Sol in addi area kumechacha (mama yoyoyoo)
Karibuni kwenye extravaganza
Karibuni kwenye extravaganza

Why are you looking for trouble, trouble, trouble?
Hapana rusha mawe kwa police station
Kabla uwashe kivela cheki situation
Hapana shusha bendera kwa chifu

Why are you looking for trouble, trouble, trouble?
Bibi ya wenyewe is a no-go zone
Kabla ukute vitu piga protection
Nairobi mwizi utageuzwa jivu

Why are you looking for trouble, trouble, trouble?
Hapana rusha mawe kwa police station
Kabla uwashe kivela cheki situation
Hapana shusha bendera kwa chifu

Why are you looking for trouble, trouble, trouble?
Bibi ya wenyewe is no-go zone
Kabla ukute vitu piga protection
Nairobi mwizi utageuzwa jivu

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Contact Form