Harmonize Ft Diamond Platnumz – Kwangwaru Lyrics


Harmonize Ft Diamond Platnumz – Kwangwaru Lyrics
[Intro]
Iyoo Lizer

[Verse 1: Harmonize]
Hmm
I wish ningekuwaga na mavumba
Mkwanja manoti
Nikuhonge vya thamani
Ama, niwe fundi wa kuigiza ka' Kanumba
Masanja Joti usiwe mbali nami
Hmm
My darling, I need you love, oh
Uwe nami haki ya Mungu nakupenda
Nobody can show you love, oh
Usiwaamini ukishawapa wanakwenda

[Pre-Chorus: Harmonize]
Oh, basi jilegeze
Nikubebe mgongoni (iyelewi)
Deka nikudekeze nikutunze kama mboni (iyelewi)
Wakija wapoteze jifanye kama huwaoni (iyelewi)
Kisha uniongeze ulivyofunzwa unyangoni (iyelewi)

[Chorus: Harmonize]
Oh, baby
Asa dansi nikuone (kwa ngwaru)
Wa Bami Jo (kwa ngwaru)
Ololu Femi (kwa ngwaru)
Oh, baby
Asa cheza nikuone (kwa ngwaru)
Wa Bami Jo (kwa ngwaru)
Basi cheza na mimi (kwa ngwaru)
[Verse 2: Diamond Platnumz]
Aaagah
Moyo wangu wa muarobaini
Mchungu ukiuziwa
'Samehe mara sabini
Huo uzungu sija jaaliwa
Ungependa juu ama chini
Kwenye uvungu uparemiwa
Nikumbatie baridini
Kwenye tundu kama njiwa
Moyo wangu ni wa makuti
Usinijie na kibiriti (hasa we')
Penzi likageuka chuki
Nyumba ikawa kibiti (hasa we')
Nipatie vya kitandani
Nipe mpaka kwenye kiti (hasa we')
Ili asiniingie shetani
Nawe nikaja kukucheati

[Pre-Chorus: Diamond Platnumz]
Oh, basi jilegeze
Nikubebe mgongoni (iyelewi)
Kitandani nikoleze
Kwa miuno ya kingoni (iyelewi)
Kisha nibembeleze
Nirudishe utotoni (iyelewi)
Weka mate niteleze
Kama nyoka pangoni (iyelewi)

[Chorus: Diamond Platnumz & Harmonize]
Oh, baby
Asa dansi kidogo (kwa ngwaru)
Oh, wa Bami Jo (kwa ngwaru)
Ololu Femi (kwa ngwaru)
Oh, baby
Asa cheza nikuone (kwa ngwaru)
Wa Bami Jo (kwa ngwaru)
Basi cheza na mimi (kwa ngwaru)

[Verse 3: Diamond Platnumz & Harmonize]
Aaagah!
'Nataka kucheza chura na ingali umesimama
Aah, inama inama
Asa waonyeshe
Aah, inama inama
Unachezaje
Aah, inama inama
Unataka maji ya kisima na mwoga kuchutama
Aah, inama inama
Ebu waonyeshe
Aah, inama inama
Unachotaje
Aah, inama inama
Unataka kupiga deki wima umesimama
Aah, inama inama
Ebu tuonyeshe
Aah, inama inama
Unapigaje
Aah, inama inama
Si unataka vya pool table sa' mbona unajibana
Aah, inama inama
Ebu tuonyeshe
Aah, inama inama
Unalengaje
Aah, inama inama

[Outro: Diamond Platnumz]
Wasafi Record
Oya, wanangu wa kigogo (aah, inama)
Nipe za Mose Iyobo (aah, inama)
Vunja vunja kidogo (aah, inama)
Aah, niongeze mikogo (aah, inama inama)

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Contact Form