Harmonize - Sina Lyrics


Harmonize - Sina Lyrics

Verse 1
Ujana ni maji ya moto
Yashaniuguza mi nataketea
Niliwakana watoto wangeniuguza sikutegemea
Na kama dunia tambaa na langu lishatoboka
sina hata pa kulala nakesha kwa Kimboka
Wale marafiki niliokula nao
Na kunisifu sasa siwaoni
Ati sina kiki siendani nao kwa kuwa sina kitu mfukoni

Kama pesa nilipata nikadharau hadi wazazi
Nikakesha kula bata najisahau
Napumua karadhi

Chourus
Ohh sina(ooh yani sina)
Ohh sina(wa kunipa imani)
Ohh sina(ooooh sina)
Oooh sina
Iyeyeee
Ohh sina(hata wa kunifariji)
Ohh sina(kunipa moyo niendelee)
oooh sina(Oooh sina)
Ohhh sina
Oooiyee

Verse2
Mmmmh
Asiyefunzwa na mama hufunzwa na dunia
Misemo ya wahenga
Familia ndugu lawama
Sikutaka kukaribia kwangu
Nipokee
Ponda mali ati kufa kwaja
Heheheeee
Kumbe nivukako mbali navunja daraja
Jua likizama nafsi nanyongea mawazo
Nani nimpe lawama
Peke yangu naongea hamnazo

Kama pesa nilipata nikadharau hadi wazazi
Nikakesha kula bata najisahau
Napumua karadhi

Chorus
Ohh sina(ooh yani sina)
Ohh sina(wa kunipa imani)
Ohh sina(ooooh sina)
Oooh sina
Iyeyeee
Ohh sina(hata wa kunifariji)
Ohh sina(kunipa moyo niendelee)
oooh sina(Oooh sina)
Ohhh sina
Oooiyee

Verse 3
Pesa pesa
Pesa Pesa
Pesa Pesa
Pesa pesa
Pesa pesa
Pesa mfano wa poto zinapepea sare ndo sindano
Chunga yasije ya majoto
Tena tekea nijenge mifano

Beats..
WASAFI RECORDS..
end

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Contact Form