Willy Paul and Nandy - Njiwa Lyrics



Willy Paul and Nandy - Njiwa Lyrics


[Verse 1] - Willy Paul

Kama utaenda angalia pa kutua
Kwenye bati au bustani ya maua
Mwambie nampenda ananisumbua(aaah)
Mwambie nampenda japo kauchubua Njiwa
Peleka salamu, salamu zanguu,
Mi sina hali, naona mawingu
Nyota, nyota mwezi kuzunguzungu
Hali sio shwari, aki yamungu

Nimesha zama kwenye penzi
Wanaeza sema nimepagawa
Mwambie sijiwezi (oooh) (uuuuh)

[Chorus]

Where are you, where are you,
Where are you Njiwa?
Where are you, where are you,
Where are you Njiwa (aaah)

Njiwa Njiwaaaa
Njiwa Njiwaaaa
Njiwa Njiwaaaa
Njiwa Njiwaaaa (aaah)
(mmmmmh eeeh)
(mmmmmmh)

[Verse 2] - Nandy

Mwambie sio chakula tu, hata maji mi sinywi
Mpaka anatuma watu kina Jose Mbilinyi
Na hizo kuali zake tu, ana nikata maini
Anacheza karata tata hata haniamini

Nimesha zama kwenye penzi
Waweza sema nimepagawa
Mwambie sijiwezi aje mapema anipe dawa
Nimesha zama kwenye penzi
Waweza sema nime chachawa
Mwambie sijiwezi aje mapema anipe dawa
(aaaah aaaaah aaaaah)
Nipe dawaaaa
(iyeee iyeee)

[Chorus]
Where are you, where are you,
Where are you Njiwa?
Where are you, where are you,
Where are you Njiwa
(aaah)

Njiwa Njiwaaaa
Njiwa Njiwaaaa
Njiwa Njiwaaaa
Njiwa Njiwaaaa (aaah)
(mmmmmh eeeh)
(mh)
(The African Princess)
Ooowh oowoh!

Whe are you my Beiby
Where are you, where are you,
Where are you Njiwa?

Where are you, where are you,
Where are you Njiwa (aaah)

Njiwa Njiwaaaa
Njiwa Njiwaaaa
Njiwa Njiwaaaa
Njiwa Njiwaaaa

Where are you, where are you,
Where are you Njiwa?(Njiwa)
Where are you, where are you,
Where are you Njiwa? (Njiwa)

Njiwa Njiwaaaa
Njiwa Njiwaaaa
Njiwa Njiwaaaa
Njiwa Njiwaaaa

Where are you, where are you,
Where are you Njiwa (ai mi sijiwezi)
Njiwa Njiwaaaa
Njiwa Njiwaaaa
Njiwa Njiwaaaa
Njiwa Njiwaaaa









3 Comments

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Contact Form